Tuesday, August 26, 2008

Mashindano ya olympic yamemalizika Tanzania tumekuwa wasindikizaji .

Ndugu zangu Tanzania tumekuwa wasindikizaji kwenye mashindano ya olympic yaliomalizika hivi karibuni nnchini china,
Je hii inatufundisha nini au inatuonyesha nini? Ni kweli kwamba Tanzania hatuna wanamichezo wazuri au ni nini hasa Tatizo letu??
Binafsi nahisi ni mazoezi ya mara kwa mara hatuna ni mpaka tusikie kuna mashindano basi ndio tunaanza kufanya mazoezi,
Ndio maana nasisitiza jamaani watanzania tuamke na sisi tupende kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbalimbali Tutaibua vipaji vingi sana vilivyo lala.

Nimependa kugusia hili kidogo tuu ili tujue tuko wapi na tunakwenda wapi??

Hizi ni baadhi tuu ya picha za washiriki wa olympic waogeleaji na michezo mingine.






No comments: